Tume ya Taifa ya UNESCO yaitua Katoma Ndoo Kichwani

February 29, 2024 in Uncategorized by unesco  |  No Comments

Tume ya Taifa ya UNESCO kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) imetekeleza mradi wa maji wa kidigital unaotumia mionzi ya Jua kuyatibu maji .  na kuyafanya maji hayo kuwa salama kwa matumizi ya Binadamu   katika  kata ya Katoma, wilaya ya Geita Mkoani Geita. Mradi huu wenye jina la  .“Universal Access to Safe Drinking Water, Hygiene and Sustainable Sanitatation(WASH) in Rural Community”. unaotumia tekinolojia,  ubunifu  yenye lengo la kumtua Mama ndoo kishwani  kwa  Hisani ya Raisi Samia Suluhu Hassan ya maji salama kuwafikia  watanzania wa vijijini  ambao hawajafikiwa na Maji ya bomba.

Mbali na kujenga miundombinu ya mabomba, ujenzi wa vichoteo vya maji (Distributing Points) kwa kuweka hifadhi ya matenki manne (4),Tume ya taifa ya UNESCO  imeweza kubuni mfumo wa MajiPesa control box unaofungwa kwenye kila kichoteo ambapo mwananchi huweza kuchangia pesa kidogo  ili kupata huduma ya maji na kuufanya mradi uwe endelevu.

Aidha Mfumo huu unauwezo wa kutuma ujumbe  kwa wajumbe wote wa kamati ya maji ngazi ya jamii ( community-based water suppy organization-CBWSO) na mamlaka za maji RUWASA-Geita.

Posted in Uncategorized.

Leave a Reply

Your email address will not be published.