Author Archives: unesco

Tanzania Yafafanua Mgogoro wa Wamasai UN

April 27, 2023 in Uncategorized by unesco  |  No Comments

Katika kikao cha 22 cha Umoja wa Mataifa cha Watu wa Asili kinachofanyika Jijini New York Marekeni Tanzania imepata fursa ya kutoa ufafanuzi juu ya mgogoro wa Ngorongoro wa Wamasai Mkoani Manyara.

Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Prof. Hamisi Malebo ambaye ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO umeileza Dunia kwamba Tanzania inaheshimu na kuthamini maisha na haki ya kila mtanzania ikiwa ni pamaoja na wajibu wa kuhakikisha kila mtanzania ananufaika na rasilimali za nchi katika jitahada za kujiletea maendeleo.

Aidha, ujumbe huo ulisema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina makabila yapatayo 120 na kwamba makabila yote yana haki sawa ya kufaidika na kila aina ya rasilimali iliyopo kwa vizazi vilivyopo na vijavyo. Prof. Hamis Malebo akitoa ufafanuzi juu ya kile kinachoitwa watu wa asili nchini Tanzania, ameeleza kuwa Tanzania haijawahi kuwa na watu wa asili kwa kuwa ilianza kukaliwa takribani miaka 5000 iliyopita na watu kutoka makundi ya Kushi na Khosai wajulikana leo kama Wabantu na baadae watu wenye asili ya Nilotic walianza kuingia katika eneo hili linalojulikana leo kama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia karne ya 18 ikiwa ni pamoja na Wamasai. Taarifa ya Tanzania iliwasilishwa na Afisa Mwandamizi wa uwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Bi. Zulaikha Tambwean

Kadhalika, Prof. Malebo akiongea na Mwandishi Maalum wa Jukwaa la Watu wa Asili Bw. Cali T zay kutoka Guatemala alimwarifu kuwa Tanzania imekuwa na inaendelea kushughulikia kero mbalimbali za jamii ya Wamasi ikiwa ni pamoja na kuandaa mazingira mazuri ya kuishi na kupata huduma sitahiki kama jamii zingine za kitanzania. Pia Prof. Malebo alimuomba mwandishi huyo apatapo nafasi atembelee Tanzania hususani jamii ya kimasai ili kujionea jitihada zinazofanywa na serikali katika kuimarisha ustawi wa Wamasai

SCHOLARSHIP ANNOUNCEMENT

April 23, 2023 in Uncategorized by unesco  |  1 Comments

All qualified Tanzanians are encouraged to apply.

Royal Tour

August 3, 2022 in Uncategorized by unesco  |  Comments Off on Royal Tour

Roya Tour is the film with Hon. Samia Suluhu Hassan the President of the United Republic of Tanzania disclosing the hidden wealth and attractions in Tanzania. The film has been produced to several languages with the intent to cover more audiences. Here we brought with English and Chinesse release and more to come. For English click here and for Chinesse click here.

World Heritage Sites

August 3, 2022 in Uncategorized by unesco  |  Comments Off on World Heritage Sites

Tanzania has seven (7) World Heritage Sites distributed across the country. The 7 sites are Kilimanjaro National Park, Kondoa Rock Art Sites, Stone Town, Zanzibar, The Ngorongoro Conservation Area, Selous Game Reserve, Serengeti National Park and Ruins of Kilwa Kisiwani and Ruins of Songo Mnara. For further information click here to read in detail.

The Department of Standards and Quality

May 16, 2017 in Uncategorized by unesco  |  1 Comments

The Department of Standards and Quality Assurance in the Ministry of Trade and Industry (MTI) invites entries.